kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,422
- 3,392
Rafiki yangu kipenzi alikuwa mshauri mzuri sana katika mambo ya kupanga bajeti, na pesa take hakupenda kuichezea kabisa. Nilikuwa sipatani naye kwa hilo, kwani Mimi nimtumiaji na ni mtoaji, huwa nikimsaidia MTU najisikia furaha sana ila sipendi kuombwa ombwa, napenda nitoe mwenyewe.
Sasa rafiki yangu huku ilifikia hadi ndugu akachuniana nao kuwa wanarudisha maendeleo nyumba, kweli akafanikiwa kujenga nyumba kubwa ya kisasa. Nasikitika kusema hakuikaa hata miaka miwili alishafariki, wale ndugu ndo wako mle wanaselebuka, maisha ni fumbo na mungu huamua mambo yake anavyotaka yeye.
Sasa rafiki yangu huku ilifikia hadi ndugu akachuniana nao kuwa wanarudisha maendeleo nyumba, kweli akafanikiwa kujenga nyumba kubwa ya kisasa. Nasikitika kusema hakuikaa hata miaka miwili alishafariki, wale ndugu ndo wako mle wanaselebuka, maisha ni fumbo na mungu huamua mambo yake anavyotaka yeye.