Good Mzizi Mkavu, haya ndio maisha halisi ya watanzania walio wengi, mtu anakuja awaahidi uwanja wa ndege wa kimataifa, hana maji, zahanati, shule, barabara, Ahhhai siajabu akapigia kura hizo ahadi zisizotekelezeka!!
Badu safari ni ndefu na ngumu,
Maosha bora kwa kila mwanasiasa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.