Maisha baada ya Magogoni

Maisha baada ya Magogoni

Vipi nchi yenu saivi ina hali gani ?
........Mkuu unanionea haya kweli yalikuwa maneno yangu ila angalia na wakati nilipoyaongea.

Wote tupo ktk dilemma hatukutegemea haya anayoyafanya Ngosha yaani imekuwa kama surprise.
 
........Mkuu unanionea haya kweli yalikuwa maneno yangu ila angalia na wakati nilipoyaongea.

Wote tupo ktk dilemma hatukutegemea haya anayoyafanya Ngosha yaani imekuwa kama surprise.
Hahaha.mkuu inabidi utubu sasa.haraka mno
 
Wakuu mbona nikikogin jamiiforum kwa kutumia application sipati kuona kitu na inainyesha hakuna kitu ni empty
 
........Mkuu unanionea haya kweli yalikuwa maneno yangu ila angalia na wakati nilipoyaongea.

Wote tupo ktk dilemma hatukutegemea haya anayoyafanya Ngosha yaani imekuwa kama surprise.
hii comments yako imenikata usingizi kabisa
 
Back
Top Bottom