Kada mnazoongoza kujiua ni watu wa Afya madkaktari , watu wa fedha TRA mna mshahara mkubwa ila bado mna Jiua.. Watu wa usalama mapolisi na jeshi nao mnakufa kufa mnajiua.. Mainjinia hakuna Kujinyonga ni wanakula tu maisha hawamsikii janabi wanakula na kunywa na kucheza mziki.