Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,080
- 10,436
Khaa!! Hili nalo ni neno. Alikuwa anajipigia promo eti yeye ni mtu wa maamuzi magumu. Kiko wapi sasa bado anajiumauma tu kuamua haamui ila anawayawaya. maji ya kikombe aliita mafuriko:doh:Mimi naona tuhame kwa Edo maana sasa sio tena habari ya mujini