Je nini kilikufanya ukawa kwenye mahusiano uliyopo?Je ni ngono?Je ni kwa sababu umezaliwa ukakuta kuna mahusiano?Je ni kufuata mkumbo?Je ulilazimishwa?Je ulijaribu kujua ladha yake?Tafakari!Itasaidia kuboresha mahusiano uliyonayo!
Sio kwamba nimeuliza kwa niaba yangu,nimeuliza kwa kila mmoja ili itusaidie kujikagua kama tuna sababu za msingi kuingia kwenye mahusiano na sio sababu za ajabu ajabu!