Mahusiano ya pombe na ngono

Mahusiano ya pombe na ngono

pathfinder_tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2018
Posts
356
Reaction score
377
Kuna mahusiano gani kati ya pombe na ngono?

Kuna watu wanaamini wakinywa pombe wana perfome vizuri kitandani.

Kuna wengine wanaamini pombe inawaongezea nguvu kwenye kujamiiana.

Binafsi niwahi kuwa na mpenzi ambae kabla hatujazini anataka anywe kwanza kitu cha konyagi awe high baada ya hapo ananipa game la maana.. staili kibao na maneno mengi ya kuvutia.

Anamwaga radhi kiasi kwamba asipokunywa basi hawezi fanya kitu.

Kuna wanaoamini pombe huondoa aibu kwenye tendo. Ingawa sio wote wanaotumia pombe then wakaenda kusex no.

Nimekutana sana na story hizi like mtu yupo bar anastua anasubiri mwenzie aje wa kazini.

Pia kuna wale ambao wakishafika lodge au hotel wanakunywa kwanza kwenye vyumba then wanabinjuka.

So mahusiano ya pombe na mapenzi yapoje?

Sababu nishaona kuna wengine wanajutia kesho yake kwanini walikunywa, hapo ni baada ya kubanduliwa sana na kufanyiwa michezo ya hatari.

IMAG0866.jpg
 
Pombe vs ngono » Shetani mbaya sana ambaye ukimvaa kama shari lenye vifungo ukitaka kulivua lazia uanze na kimoja kimoja na usiombe likawa na vingi inakuchukua mda kulivua. Umenielewa bila shaka
 
inakata aibu basi kitu unakiskilizia mpaka
kunako....hasa kwa mtu ambae hujamzoea
 
Uliyoyasema yote ni sawa,.
Na ndio mahusiano ya pombe na mapenzi, .
 
Back
Top Bottom