miss esterosey
Member
- Sep 25, 2018
- 53
- 134
case closed
Unanitisha jamanDistance ilifanya nikaachika. Nilikunywa bia kuanzia asubuhi hadi usiku seven days a week × two weeks ndio akili ikakaasawa. Wacha kuendekeza hiyo distant relationship. Wacha kabisa!
Kama Westen Union & Money Gram zinasoma komaa naeWanazengwe wazima humu, nina swali lina nitatiza yan nakuwa najiuliza mwenyewe na kujijibu hapohapo bila kupata jibu sahihi.
haya naombeni mawazo yenu hapa, unaweza ukawa na mahusiano na mwanaume au mwanamke anayeishi nje ya nchi na hamjawahi hata kuonana zaidi ya kupigiana video call na kuchat tu?
Ingawaje huyo mwanaume au mwanamke ni mtanzania ila anaishi nje na anafanya kazi zake nje kwa wa miaka 10 hivi; na hana mwanamke huko?
utakuwa na uhakika gani kama ni wako au lah? na hamjawah kugombana mnaelewana na kupendana kweli???
Hakuna cha kukutisha wala nini. Huo ndio ukweli. Kwani fimbo ya mbali inaua nyoka?Unanitisha jaman
Kwani na yeye mwanamke ataamini vipi wewe ni wake pekee yake tu?Wanazengwe wazima humu, nina swali lina nitatiza yan nakuwa najiuliza mwenyewe na kujijibu hapohapo bila kupata jibu sahihi.
haya naombeni mawazo yenu hapa, unaweza ukawa na mahusiano na mwanaume au mwanamke anayeishi nje ya nchi na hamjawahi hata kuonana zaidi ya kupigiana video call na kuchat tu?
Ingawaje huyo mwanaume au mwanamke ni mtanzania ila anaishi nje na anafanya kazi zake nje kwa wa miaka 10 hivi; na hana mwanamke huko?
utakuwa na uhakika gani kama ni wako au lah? na hamjawah kugombana mnaelewana na kupendana kweli???
Sasa hamjawahi kuonana! Mapenzi gani hayo eti mdada!
Fanya utaratibu muonane, la sivyo amka kwenye huo usingizi!
[/QUOTE amelala wa pono kabisa,huyu n wa kuamsha mapema
Kama kweli ana lengo na wewe,Wanazengwe wazima humu, nina swali lina nitatiza yan nakuwa najiuliza mwenyewe na kujijibu hapohapo bila kupata jibu sahihi.
haya naombeni mawazo yenu hapa, unaweza ukawa na mahusiano na mwanaume au mwanamke anayeishi nje ya nchi na hamjawahi hata kuonana zaidi ya kupigiana video call na kuchat tu?
Ingawaje huyo mwanaume au mwanamke ni mtanzania ila anaishi nje na anafanya kazi zake nje kwa wa miaka 10 hivi; na hana mwanamke huko?
utakuwa na uhakika gani kama ni wako au lah? na hamjawah kugombana mnaelewana na kupendana kweli???