Mahusiano ya Kimataifa

Mahusiano ya Kimataifa

Reagan Carima

Member
Joined
May 20, 2015
Posts
44
Reaction score
194
Hivi hakuna wakati wanasiasa wanaweza kuongea kama Watanzania wakaachana na vyama vyao kwanza?

Inanishangaza sana masuala nyeti kama ushirikiano wa Kimataifa watu wanayajadili kwa mtazamo mmoja wote kisa tu ni chama fulani.

Kuna mfano wa Taifa gani ambalo limewahi kupiga hatua kwa kugombana na majirani kisa tu wanajiweza?

Masuala haya kwanini yasingepewa hadhi yake na yakajadiliwa kwa hekima na busara zaidi kwa ajili ya mustakabali wa Taifa letu na vizazi vijavyo?
 
Hakuna kitu kinahitaji umakini kama maslahi ya taifa,

Ndio maana kuna watu wameuwawa kwa hilo, wametengwa au hata kufungwa kwa sababu hiyo.

Tukiwa tunajadili mambo mazito yanayohusu hatima ya Taifa,halafu watu wakawa wanaingiza itikadi zao za kisiasa, hapa ndipo mapuuza mpaka katika ushauri wa msingi huzaliwa.

Kumbuka maswala ya miga na Barrick, bandari na wachina, Corona na Wazungu kote huko watu wanajichanganya kujadili au kutoa maoni kwa misingi ya kisiasa.

Ni ngumu sana kuaminika na wenye mamlaka nchini juu ya ushauri mnaotoa.
 
Kwa khali tuliyonayo kwa sasa baada ya Uchaguzi wa Oct, 28 Mahusiano hapa Ndani ni shagarabagara tunaishi kinafiki tu hakuna Maelewano ya maana.

Kwa nje napo Tunaanza Kujitutumua eti sisi ni Taifa huru, eti Nyerere aliwadindia Wazungu, na leo tunawaza pia kuwadindia; Sisi eti ni DONA CATILII. Ni swala la Muda tu Kutakuja kujua wapi tumechemsha. Mzungu anayetusaidia hata dawa za malaria, viandarua na ARV, leo tunamkalipia Tumekwisha. Siku zote Muda ni rafiki wa kweli.
 
Kw
Kwa khali tuliyonayo kwa sasa baada ya Uchaguzi wa Oct, 28 Mahusiano hapa Ndani ni shagarabagara tunaishi kinafiki tu hakuna Maelewano ya maana.

Kwa nje napo Tunaanza Kujitutumua eti sisi ni Taifa huru, eti Nyerere aliwadindia Wazungu, na leo tunawaza pia kuwadindia; Sisi eti ni DONA CATILII. Ni swala la Muda tu Kutakuja kujua wapi tumechemsha. Mzungu anayetusaidia hata dawa za malaria, viandarua na ARV, leo tunamkalipia Tumekwisha. Siku zote Muda ni rafiki wa kweli.

Mzungu haachi kutoa misaada kisa kakalipiwa,au mtu kaporwa ushindi wa jimbo.

Embu waeleweni hawa watu.
 
Kabudi alikuwa anaongea na waandishi wa habari kuwataka kutimiza wajibu wao. Wasiache wale jamaa wa jamii wa Twitter (wahuni wachache; Amsterdam, Zitto, Maria Sarungi, Fatma Karume na genre lao) waendelee kuaminisha wananchi kama vile Tanzania bado ni koloni la mabeberu wakati ni sovereign state yenye maamuzi yake.

Kama ni misaada yenye masharti ya ovyo nchi aiwezi tishiwa kufanya maamuzi yake waandishi waelewe hilo.

Lengo ni audience yake (waandishi) wasikae kimya kwenye upotoshwaji unaofanywa na wahuni wachache Twitter.

Duh ila post za CDM zimeenda potosha speech nzima, na ndio hiki Kabudi was addressing upotoshaji. Hii trend inazidi kukuwa as days go na wahusika wanaona sifa kweli.
 
Kwa khali tuliyonayo kwa sasa baada ya Uchaguzi wa Oct, 28 Mahusiano hapa Ndani ni shagarabagara tunishi kinafiki tu hakuna Maelewano ya maana. kwa nje napo Tunaanza Kujitutumua eti sisi ni taifa huru, eti nyerere aliwadindia Wazungu, na leo tunawaza pia kuwadindia; Sisi eti ni DONA CATILII. Ni swala la Muda tu Kutakuja kujua wapi tumechemsha. Mzungu anayetusaidia hata dawa za malaria, viandarua na ARV, leo tunamkalipia Tumekwisha. Siku zote Muda ni rafiki wa kweli...
JK aliweza sn mahusianao ya kimataifa
 
Kabudi alikuwa anaongea na waandishi wa habari kuwataka kutimiza wajibu wao. Wasiache wale jamaa wa jamii wa Twitter (wahuni wachache; Amsterdam, Zitto, Maria Sarungi, Fatma Karume na genre lao) waendelee kuaminisha wananchi kama vile Tanzania bado ni koloni la mabeberu wakati ni sovereign state yenye maamuzi yake.

Kama ni misaada yenye masharti ya ovyo nchi aiwezi tishiwa kufanya maamuzi yake waandishi waelewe hilo.

Lengo ni audience yake (waandishi) wasikae kimya kwenye upotoshwaji unaofanywa na wahuni wachache Twitter.

Duh ila JF post za CDM zimeenda potosha speech nzima, na ndio hiki Kabudi was addressing upotoshaji. Hii trend inazidi kukuwa as days go na wahusika wanaona sifa kweli.
Mnalalamika nini nyie dona kantrii?
 
Kabudi alikuwa anaongea na waandishi wa habari kuwataka kutimiza wajibu wao. Wasiache wale jamaa wa jamii wa Twitter (wahuni wachache; Amsterdam, Zitto, Maria Sarungi, Fatma Karume na genre lao) waendelee kuaminisha wananchi kama vile Tanzania bado ni koloni la mabeberu wakati ni sovereign state yenye maamuzi yake.

Kama ni misaada yenye masharti ya ovyo nchi aiwezi tishiwa kufanya maamuzi yake waandishi waelewe hilo.

Lengo ni audience yake (waandishi) wasikae kimya kwenye upotoshwaji unaofanywa na wahuni wachache Twitter.

Duh ila JF post za CDM zimeenda potosha speech nzima, na ndio hiki Kabudi was addressing upotoshaji. Hii trend inazidi kukuwa as days go na wahusika wanaona sifa kweli.
Hakuna kulichopotoshwa!

Wakisema musiumize wenzenu, mufuate demokrasia, ni mabeberu.

Wa
 
Mnalalamika nini nyie dona kantrii?
Nani analalamika we subiri Zoom press conference ya Zitto na Lissu kama ujapewa log in ID itafute; wengine tushawachoka au losers.

Regular discussion za parliamentary committee tena yenye wajumbe 71 wajumbe watano tu ndio waliojitokeza ikimbukwe wako majumbani kutokana na COVID 66 wengine waliona sio swala la muhimu.

Huku kwengine washatengeneza drama nchi iko mbioni kuwekewa vikwazo, tells you how desperate these ppl are.
 
Tusijadili tena kisiasa basi Wandugu lets just be real tutetee Taifa na sio vyama vyetu mbona ni simple tu?
 
Hakuna kulichopotoshwa!

Wakisema musiumize wenzenu, mufuate demokrasia, ni mabeberu.

Wa
Wajumbe 5 kati ya 71 ya wanakamati walioashiri ni 8% ya kamati nzima. Waliobaki 92% ya wana kamati hawakuona umihumu ata wa kuwasha computer kujadili maswala ya uchaguzi Tanzania (wapo majumbani sasa hivi kutokana na COVID) let alone hilo swala alijajadiliwa kwenye bunge lao.

Huko Twitter washaanza nchi inawekewa vikwazo, huu upotoshaji ndio Kabudi anata usiachwe wahandishi wa habari wana duty ya kuelimisha jamii.

Watu hao hao washaanza Kabudi amewajibu wazungu; how pathetic is Zitto and his gang wakati yeye alikuwa anazungumza na audience nyingine.
 
Hivi hakuna wakati wanasiasa wanaweza kuongea kama Watanzania wakaachana na vyama vyao kwanza?

Inanishangaza sana masuala nyeti kama ushirikiano wa Kimataifa watu wanayajadili kwa mtanzamo mmoja wote kisa tu ni chama fulani.

Kuna mfano wa Taifa gani ambalo limewahi kupiga hatua kwa kugombana na majirani kisa tu wanajiweza?

Masuala haya kwanini yasingepewa hadhi yake na yakajadiliwa kwa hekima na busara zaidi kwa ajili ya mustakabali wa Taifa letu na vizazi vijavyo?
Mustakabali wa taifa ? Kina Kabudi na genge lake wao wanaangalia mustakabali wa matumbo yao na familia zao .
 
Ni heri umuombe Mungu akupe hekima kuliko Mali. Kama una madaraka na huna hekima we bure.
Taifa lolote pasipo majadiliano litaangamia
 
Back
Top Bottom