Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,844
Mwema nyumbani kwakomchunga mwema wa ng'ombe anayechunga mpaka wazungu.
kama yesu na kondoo wake.
Mwema nyumbani kwakomchunga mwema wa ng'ombe anayechunga mpaka wazungu.
kama yesu na kondoo wake.
Sasa mnarusha rusha miguu yanini pamoja na Waziri wenu?Nani analalamika we subiri Zoom press conference ya Zitto na Lissu kama ujapewa log in ID itafute; wengine tushawachoka au losers.
Regular discussion za parliamentary committee tena yenye wajumbe 71 wajumbe watano tu ndio waliojitokeza ikimbukwe wako majumbani kutokana na COVID 66 wengine waliona sio swala la muhimu.
Huku kwengine washatengeneza drama nchi iko mbioni kuwekewa vikwazo, tells you how desperate these ppl are.
Nishakwambia Zitto na Lissu losers tu.Sasa mnarusha rusha miguu yanini pamoja na Waziri wenu?
Tulia iingie vzrNishakwambia Zitto na Lissu losers tu.
Ushazoea kuingiziwa nini?Tulia iingie vzr
UtakomaUshazoea kuingiziwa nini?
Wenzako wako wanaangaika na mjadala uliojaa wakenya watu wanaodai wana wapigania watanzania hawana muda nao.
Lissu I was shot 16 times
Sikiliza mungu alivyokuwa mkubwa wanaropoka mipango yao live, huku wakidhani wamezima.Utakoma
Hovyo kabisaSikiliza mungu alivyokuwa mkubwa wanaropoka mipango yao live
Lissu karopoka kumbe kwenye mjadala kawafundisha wachangiaji maswali ya kuuliza.Hovyo kabisa
Shida zimekujaa na CCM yakoLissu karopoka kumbe kwenye mjadala kawafundisha wachangiaji maswali ya kuuliza.
Ndio mambo hayo hayo anayomtuma Amsterdam aandike huko Twitter halafu poyoyo kama wewe unashangilia.
CCM ndio iliyomwambia aropoke pia leo akidhani washatoka kwenye YouTube channel?Shida zimekujaa na CCM yako