Mahusiano ya kimapenzi

Ni tamaa na roho ya uchu wa kimapenzi kwa kujiendekeza na kuendekeza uzinifu tu.
Hapa nawatoa wale waliyo na mke zaidi ya mmoja kisheria tu.
Hata wao ni Yale Yale tu. kwani wameambiwa na nani kuwa ni lazima na usipokuwa nao zaidi ya mmoja unatenda dhambi!
 

mkuu ninakushauri ukasome vizuri kamusi ya kiswahili UFISADI SIO KUJILIMBIKIZIA MALI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…