Kulingana na hivi karibuni msanii mkali bongo, Diamond platnums kutoa wimbo wake mpya unaoitwa "bora nikae kimya" huku ndani ya ngoma hiyo akiwa ameitetea serikali na mkuu wa mkoa paul makonda ,ambao ni maadui wakubwa wa wananchi pamoja na kituo cha radio na Tv nchini ,clouds media ,je urafiki wa diamond na ruge pamoja na wafanya kazi wa clouds bado utakua salama?