Mahusiano ya Diamond na Clouds FM yatakuwa salama?

galton

Member
Apr 8, 2017
80
126
Kulingana na hivi karibuni msanii mkali bongo, Diamond platnums kutoa wimbo wake mpya unaoitwa "bora nikae kimya" huku ndani ya ngoma hiyo akiwa ameitetea serikali na mkuu wa mkoa paul makonda ,ambao ni maadui wakubwa wa wananchi pamoja na kituo cha radio na Tv nchini ,clouds media ,je urafiki wa diamond na ruge pamoja na wafanya kazi wa clouds bado utakua salama?
 
Urafiki utabaki pale pale kwasababu kuna biashara diamond unafanya na Kusaga!
ila huo wimbo sidhani kama utachezwa.....
 
Kulingana na hivi karibuni msanii mkali bongo, Diamond platnums kutoa wimbo wake mpya unaoitwa "bora nikae kimya" huku ndani ya ngoma hiyo akiwa ameitetea serikali na mkuu wa mkoa paul makonda ,ambao ni maadui wakubwa wa wananchi pamoja na kituo cha radio na Tv nchini ,clouds media ,je urafiki wa diamond na ruge pamoja na wafanya kazi wa clouds bado utakua salama?

Warumi tumekushtukia.
 
Urafiki utabaki pale pale kwasababu kuna biashara diamond unafanya na Kusaga!
ila huo wimbo sidhani kama utachezwa.....
Siku hiyo hiyo Diamond ametoa ulichezwa mara mbili, binafsi sijawahi kuusikia sehemu yoyote zaidi ya Clouds mara mbili, na TBC Taifa mara moja tena kwenye daladala

- Jamani alipofika Diamond ni biashara tosha na hasuswi, na ndio maana hata show zao nyingi anakataa
 
Siku hiyo hiyo Diamond ametoa ulichezwa mara mbili, binafsi sijawahi kuusikia sehemu yoyote zaidi ya Clouds mara mbili, na TBC Taifa mara moja tena kwenye daladala

- Jamani alipofika Diamond ni biashara tosha na hasuswi, na ndio maana hata show zao nyingi anakataa
Nilijua watamshit, ila siku hizi hawamfagilii kivilee coz ya makonda
 
Kulingana na hivi karibuni msanii mkali bongo, Diamond platnums kutoa wimbo wake mpya unaoitwa "bora nikae kimya" huku ndani ya ngoma hiyo akiwa ameitetea serikali na mkuu wa mkoa paul makonda ,ambao ni maadui wakubwa wa wananchi pamoja na kituo cha radio na Tv nchini ,clouds media ,je urafiki wa diamond na ruge pamoja na wafanya kazi wa clouds bado utakua salama?

Wewe koma, mie sio maadui zangu. Siasa zenu za uchonganishi peleka hukohuko kwa wachonganishi wenzio.
 
Acha uongo, umesema Rais na Makonda ni maadui wakubwa wa wananchi!! Huo uadui unauthibitishaje? Umetumia kigezo gani kusema hao watu ni adui kwa wananchi?.
Next time usilete hisia zako binafsi na kuwasemea watu zaidi ya mil 50
 
Kulingana na hivi karibuni msanii mkali bongo, Diamond platnums kutoa wimbo wake mpya unaoitwa "bora nikae kimya" huku ndani ya ngoma hiyo akiwa ameitetea serikali na mkuu wa mkoa paul makonda ,ambao ni maadui wakubwa wa wananchi pamoja na kituo cha radio na Tv nchini ,clouds media ,je urafiki wa diamond na ruge pamoja na wafanya kazi wa clouds bado utakua salama?

Tafadhali sana usidhani wote tunawaza kama wewe, kama una chuki ni za kwako binafsi. Mimi binafsi huniambii kitu kwa CCM, Serikali ya CCM na Mkuu wa mkoa Makonda. Niwachukie hawa halaf nimpende nani????????????????
 
Back
Top Bottom