Zeddicus
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 627
- 540
Habari zenu wanajamvi.
Mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 25 nimepitia relationship kama tatu hivi ila sijafanikiwa kuwa na mwanamke aliyenipenda kwa dhati labda kwa vile me nimuumini wa mapenzi ya kweli na nimpole sana.
Nasema hivi kwa kuwa kila mwanamke niliekuwa nae mapenzi yalikuwa yakikolea mwanzoni lakini baadae yanapungua na kunipotezea kabisa.
Nahitaji mwanamke atakayenipenda kwa dhati. Awe anayo hofu ya Mungu, umri ni kuanzia miaka 18 mpaka 25.
Me ni mjasiriamali naishi Dar es salaam na ni mwanafunzi pia mwaka wa tatu bachelor degree.
Kama utakuwa interested na mimi ni-pm tubadilishane mawasiliano.
Mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 25 nimepitia relationship kama tatu hivi ila sijafanikiwa kuwa na mwanamke aliyenipenda kwa dhati labda kwa vile me nimuumini wa mapenzi ya kweli na nimpole sana.
Nasema hivi kwa kuwa kila mwanamke niliekuwa nae mapenzi yalikuwa yakikolea mwanzoni lakini baadae yanapungua na kunipotezea kabisa.
Nahitaji mwanamke atakayenipenda kwa dhati. Awe anayo hofu ya Mungu, umri ni kuanzia miaka 18 mpaka 25.
Me ni mjasiriamali naishi Dar es salaam na ni mwanafunzi pia mwaka wa tatu bachelor degree.
Kama utakuwa interested na mimi ni-pm tubadilishane mawasiliano.