CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 558
- 2,100
Katika maisha Haya Ya Mahusiano, Nimejaribu Sana kwa Muda Mwingi Kuchunguza Swala La *Mahusiano ya Mume na ndugu zake Baada Ya ndoa*
Na, Mahusiano ya Mke na ndugu zake Baada ya ndoa.
Kitu Nilichokiona ni Kwamba Kwa kiwango kikubwa sana Mahusiano ya Mke na ndugu zake huimarika zaidi kuliko Mume.
MUME hujisahau na kugeuza akili yake yote kwa Ndugu wa mke (Bahati mbaya Mke akimtawala kazi inakuwa imekwisha kabisa) Utasikia mke akisema " Baba nanihii Yaani Mama analalamika tumemsusa sijui tumnunulie zawadi gani? Hapa husikii Mke akitaja Mahitaji ya Mama mkwe wake... Ila always ni Mama yake
Mama Mkwe anataka pesa za banda la kuku, Mama mzazi anaomba Pesa ya shamba Anapigwa kalenda Mama mkwe anatumiwa baada ya nusu saa.
Mke akiona unajali sana Nguguzo utaona tu Facial expresaion anavyorespond ukimshirikisha Ya upande wako.
Wanawake wengi ni Selfish( Sisemi wote) Ila wengi wanapenda Wafikiriwe wao kwanza kwa kila Jambo.
Katika uzoefu wangu wa Ndoa unakuta Mke anataja "Yaani Mama ukimpa kitu fulani anafurahi huyooo" Yaani mdogo wangu Akija patachangamka hapa" Baba yangu hivi na hivi"
Kwangu Niliyaona Haya mapema Nikazuia huo ujinga sababu Niliona Hata ndugu wakitaka kukata Mguu kuja kunisalimia.
Wanaume tuweni Makini Sana Hapo,!!
Na, Mahusiano ya Mke na ndugu zake Baada ya ndoa.
Kitu Nilichokiona ni Kwamba Kwa kiwango kikubwa sana Mahusiano ya Mke na ndugu zake huimarika zaidi kuliko Mume.
MUME hujisahau na kugeuza akili yake yote kwa Ndugu wa mke (Bahati mbaya Mke akimtawala kazi inakuwa imekwisha kabisa) Utasikia mke akisema " Baba nanihii Yaani Mama analalamika tumemsusa sijui tumnunulie zawadi gani? Hapa husikii Mke akitaja Mahitaji ya Mama mkwe wake... Ila always ni Mama yake
Mama Mkwe anataka pesa za banda la kuku, Mama mzazi anaomba Pesa ya shamba Anapigwa kalenda Mama mkwe anatumiwa baada ya nusu saa.
Mke akiona unajali sana Nguguzo utaona tu Facial expresaion anavyorespond ukimshirikisha Ya upande wako.
Wanawake wengi ni Selfish( Sisemi wote) Ila wengi wanapenda Wafikiriwe wao kwanza kwa kila Jambo.
Katika uzoefu wangu wa Ndoa unakuta Mke anataja "Yaani Mama ukimpa kitu fulani anafurahi huyooo" Yaani mdogo wangu Akija patachangamka hapa" Baba yangu hivi na hivi"
Kwangu Niliyaona Haya mapema Nikazuia huo ujinga sababu Niliona Hata ndugu wakitaka kukata Mguu kuja kunisalimia.
Wanaume tuweni Makini Sana Hapo,!!

