Mahusiano na mwanajeshi...

Achana na hao watu wewe kwanza wanaweza fia vitani muda wowote Wana stress za huko kambini

Njoo kwa Mimi kinyozi mazigazi bin ukoko


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado naendelea kutafakari kulikuwa na umuhimu gani kuweka neno mwanajeshi,kilichotokea kinafanywa na wanaume wengi tu au imekua ajabu sana kufanywa na mwanajeshi?bado naendelea kutafakari
 
Ninaye mmoja tuna miezi 7 anaupendo hadi naogopa. Siyo wavaa baka wote ma.la.y
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ