huskryderz
Member
- Dec 23, 2011
- 27
- 25
Mdau anaomba ushauri:
Jamaa amewahi kuwa na mwanamke kwa muda wa miaka 10 wakiwa kwenye mahusiano wa kimapenzi, walifanikiwa kuanzisha biashara ikasajiliwa kwa jina la mwanadada ambaye mchumba/mpenzi wake na pia wakajenga nyumba kupitia kipato cha mwanaume na walifanikiwa kuzaa watoto wawili.
Lakini mwanamke ameomba kuachana na mwanaume kwa sababu ambazo mwanamke anadai kuwa anahitaji kuishi maisha yake sasa.
Kumbuka hawa watu hawakuwa wameoana ila mwanaume alipambana kuweza kuinua uchumi akiamini kuwa tayari ni watu wamoja wenye malengo ya kujenga familia yao na baaadae watafika kwenda kwa wazazi kufuata taratibu zingine za ndoa.
Jamaa amewahi kuwa na mwanamke kwa muda wa miaka 10 wakiwa kwenye mahusiano wa kimapenzi, walifanikiwa kuanzisha biashara ikasajiliwa kwa jina la mwanadada ambaye mchumba/mpenzi wake na pia wakajenga nyumba kupitia kipato cha mwanaume na walifanikiwa kuzaa watoto wawili.
Lakini mwanamke ameomba kuachana na mwanaume kwa sababu ambazo mwanamke anadai kuwa anahitaji kuishi maisha yake sasa.
Kumbuka hawa watu hawakuwa wameoana ila mwanaume alipambana kuweza kuinua uchumi akiamini kuwa tayari ni watu wamoja wenye malengo ya kujenga familia yao na baaadae watafika kwenda kwa wazazi kufuata taratibu zingine za ndoa.