Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Tunapo ingia tarehe 1.12.2011,...siku ya kwanza kabisa katika mwezi wa mwisho wa
mwaka,....Umeweza kujiuliza mahusiano yako yamekuwa vipi katika mwaka huu wote?
Sio lazima yawe mahusiano ya kimapenzi,hata mahusiano yako na wazazi wako,...
mahusiano yako na wakwe zako,...mahusiano yako na rafiki zako,...mahusiano yako na
majirani zako yamekuwaje?
Kama yamekuwa mazuri unadhani ni kwanini?
Kwa ufupi tu,nadhani kila mmoja ana majibu yake juu ya jinsi gani mahusiano yake
yamekuwa mwaka huu,...lakini kama yamekuwa mabaya na unataka kuyarekebisha ili
yaende vyema,basi asilimia 80% ya matatizo yanaanzia kwako.
CHUKUA HATUA.
La msingi kabisa katika siku hii,tarehe 1st december kila mwaka,inachukuliwa kama siku ya ukimwi duniani.
Umechukua mda wako mwaka huu kupima damu yako ili ujue hali ya afya yako?
Kama ni negative hongera,....lakini unakumbuka kujilinda usiambukizwe virusi vya ukimwi?
Kama ni positive pole sana,sio mwisho wa maisha,namfahamu mtu aliye jitambua ana virusi vya ukimwi
toka mwaka 2001 na mpaka leo ukimuona wala huwezi hisi ni muathirika,...swali kwako,.....
Mwaka huu ume okoa maisha ya watu wangapi kwa kuepuka kuwaambukiza?
Una wafahamisha vipi wengine kuhusu hali hiyo na hali halisi ya ukimwi?
TWENDE TUKAPIME AFYA ZETU.
Hayo yote tisa,lakini kumi ni ndugu zetu wengi wamepata ajali katika mwaka huu,....
wapo walio pungukiwa damu na wakawa wanahitaji kuongezewa,...wapo walio fariki kwa kukosa damu...
hakuna kiwanda kinatengeneza damu ila ni mimi na wewe kujitolea maana hauwezi jua damu unayotoa leo
yaweza kuokoa maisha ya ndugu yako au wewe mwenyewe pale utakapo hitaji,.....
UMETOA DAMU MARA NGAPI MWAKA HUU?
Nimetoa mara mbili,na Ijumaa 2nd december nitatoa kwa mara ya tatu,wewe je?
Iweni na mwisho mwema wa mwaka,....i can't wait to see my family this holiday.
HIV IS REAL,BE FAITHFUL TO GOD,.......
mwaka,....Umeweza kujiuliza mahusiano yako yamekuwa vipi katika mwaka huu wote?
Sio lazima yawe mahusiano ya kimapenzi,hata mahusiano yako na wazazi wako,...
mahusiano yako na wakwe zako,...mahusiano yako na rafiki zako,...mahusiano yako na
majirani zako yamekuwaje?
Kama yamekuwa mazuri unadhani ni kwanini?
Kwa ufupi tu,nadhani kila mmoja ana majibu yake juu ya jinsi gani mahusiano yake
yamekuwa mwaka huu,...lakini kama yamekuwa mabaya na unataka kuyarekebisha ili
yaende vyema,basi asilimia 80% ya matatizo yanaanzia kwako.
CHUKUA HATUA.
La msingi kabisa katika siku hii,tarehe 1st december kila mwaka,inachukuliwa kama siku ya ukimwi duniani.
Umechukua mda wako mwaka huu kupima damu yako ili ujue hali ya afya yako?
Kama ni negative hongera,....lakini unakumbuka kujilinda usiambukizwe virusi vya ukimwi?
Kama ni positive pole sana,sio mwisho wa maisha,namfahamu mtu aliye jitambua ana virusi vya ukimwi
toka mwaka 2001 na mpaka leo ukimuona wala huwezi hisi ni muathirika,...swali kwako,.....
Mwaka huu ume okoa maisha ya watu wangapi kwa kuepuka kuwaambukiza?
Una wafahamisha vipi wengine kuhusu hali hiyo na hali halisi ya ukimwi?
TWENDE TUKAPIME AFYA ZETU.
Hayo yote tisa,lakini kumi ni ndugu zetu wengi wamepata ajali katika mwaka huu,....
wapo walio pungukiwa damu na wakawa wanahitaji kuongezewa,...wapo walio fariki kwa kukosa damu...
hakuna kiwanda kinatengeneza damu ila ni mimi na wewe kujitolea maana hauwezi jua damu unayotoa leo
yaweza kuokoa maisha ya ndugu yako au wewe mwenyewe pale utakapo hitaji,.....
UMETOA DAMU MARA NGAPI MWAKA HUU?
Nimetoa mara mbili,na Ijumaa 2nd december nitatoa kwa mara ya tatu,wewe je?
Iweni na mwisho mwema wa mwaka,....i can't wait to see my family this holiday.
HIV IS REAL,BE FAITHFUL TO GOD,.......