Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Kama mjuavyo, BAZAZI sio mkazi wa eneo moja, ni nyanaume inayozurura tu hivyo ninaomba msamaha iwapo uzi huu nitakuwa naurudia. Tarehe 04/04/2012 Clouds FM ilifanya mahojiano na Mbunge wa Mtere CCM Mhe!? LIVINGSTONE LUSINDE kuhusiana na matusi yake katika huko Meru hasa Leganga. Kilichonivutia ni haya yafuatayo (unaweza kusikiliza mwenyewe: shusha attachment).
1: CDM ni chama makini, hivyo nami ni mtu makini ndio sababu walinichagua kugombea ubunge.
2: Nilipandwa na JAZBA baada ya matusi ya muda mrefu ya CDM .
3: Maneno mengi niliyoyasema sio ya kweli bali ni kashfa tu.
4: Kwa kawaida ngumi ya kurudishia huuma zaidi kuliko iliyoanza.
5: Mimi sitaki kiju-defense.
6:Najutia niliyoyatamka naomba msamaha.
7: Sidhani kama kuna matusi bali vionjo vikali. baadhi ya watu wanapenda vionjo vikali hivyo wakati mwingine lugha kali ni muhimu.
8: Ni BinAdamu wawili tu YESU KRISTO na MTUME MOHAMAD ndio wahakuwa na nyongo, Nilipandwa na jazba tu.
9: Mimi suala la heshima halinisumbui sana, qani ni watu haohao walimuua YESU na kumpiga MOHAMAD.
10: Hakuna chama chochote cha siasa ambacho kina uwezo wa kutatua matatizo yote ya nchi.
Kwa kumalizia Kibonde alimtwanga na Kigongo hiki. Mhe LUSINDE kichaa akikuvua nguo utakaa au utamkimbiza bila nguo. LUSINDE: Nitakaa KIBONDE: aksante sana.(Kwangu hilo lilikuwa tusi kwake naye bila kujua akauvaa MKENGE; kazi qeliqeli).
1: CDM ni chama makini, hivyo nami ni mtu makini ndio sababu walinichagua kugombea ubunge.
2: Nilipandwa na JAZBA baada ya matusi ya muda mrefu ya CDM .
3: Maneno mengi niliyoyasema sio ya kweli bali ni kashfa tu.
4: Kwa kawaida ngumi ya kurudishia huuma zaidi kuliko iliyoanza.
5: Mimi sitaki kiju-defense.
6:Najutia niliyoyatamka naomba msamaha.
7: Sidhani kama kuna matusi bali vionjo vikali. baadhi ya watu wanapenda vionjo vikali hivyo wakati mwingine lugha kali ni muhimu.
8: Ni BinAdamu wawili tu YESU KRISTO na MTUME MOHAMAD ndio wahakuwa na nyongo, Nilipandwa na jazba tu.
9: Mimi suala la heshima halinisumbui sana, qani ni watu haohao walimuua YESU na kumpiga MOHAMAD.
10: Hakuna chama chochote cha siasa ambacho kina uwezo wa kutatua matatizo yote ya nchi.
Kwa kumalizia Kibonde alimtwanga na Kigongo hiki. Mhe LUSINDE kichaa akikuvua nguo utakaa au utamkimbiza bila nguo. LUSINDE: Nitakaa KIBONDE: aksante sana.(Kwangu hilo lilikuwa tusi kwake naye bila kujua akauvaa MKENGE; kazi qeliqeli).