Mahitaj ya msaada

BILKHA

New Member
Jun 28, 2012
1
0
Jamani poleni na majukumu ya kila siku, ninaomba mnisaidie mimi ni mwajiriwa mpya katika halmashauri ya wilaya. Je, upo waraka unaoonyesh stahili zangu maana hapa naambiwa ni fedha za kujikimu tu. Nb: Nina mke na watoto mtoto na ndio ajra yangu ya kwanza na elimu yangu ni diploma
 
Back
Top Bottom