Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,498
Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, Wakili Deogratias Mahinyila, amezungumza na wanahabari Jumanne, Septemba 16, 2025, katika viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, akitoa ufafanuzi kuhusu kadhia iliyojitokeza Septemba 15, 2025 kati yake, wafuasi wa CHADEMA na maafisa wa Jeshi la Polisi.