Scared JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 10,886 Reaction score 17,592 Jun 11, 2024 #1 Wanajamvi naomba kuuliza mahindi ya kuchoma yanafaa Kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo maana nataseka sana aisee kupata fast food nikiwa mbali na nyumbani
Wanajamvi naomba kuuliza mahindi ya kuchoma yanafaa Kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo maana nataseka sana aisee kupata fast food nikiwa mbali na nyumbani
Lavit JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 15,888 Reaction score 36,272 Jun 11, 2024 #2 Kwahiyo unakula mahindi ya kuchoma kama lunch?
Scared JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 10,886 Reaction score 17,592 Jun 11, 2024 Thread starter #3 Lavit said: Kwahiyo unakula mahindi ya kuchoma kama lunch? Click to expand... Hapana kutafuna tu ndio maana nimeuliza mgonjwa wa vidonda vya tumbo yanafaa
Lavit said: Kwahiyo unakula mahindi ya kuchoma kama lunch? Click to expand... Hapana kutafuna tu ndio maana nimeuliza mgonjwa wa vidonda vya tumbo yanafaa