Mahindi ya mjini mengi yanakuwa ya muda mrefu! We jiulize kwanini hata mahindi ya kuchoma mikoa mingi wanayala hivyo hivyo ila mjini ni hadi tukandikepo ndimu na pilipili ndiyo yanalika maana hivi hivi hayaliki!
Ya mikoani mengi ni fresh sababu mikoa mingi wanalima mahindi ila mjini hakuna mahindi yanayolimwa! Hivyo ni hadi ya mikoani yasafirishwe yakae njiani yafike huku ndiyo yapikwe mengi yanakuwa yashapoteza ladha!