kujilinda na mumewe mkorofi
si wajua hawa jamaa kwa mangumi ndo
wenyewe? ila sijaelewa bunduki ya nini?
kisha umenicha hoooi mbegu za bange na gongo!!!!!!!!!
hapo umeua bendi wangu:caked:
pole sana , kifupi wanasema haya mambo hayapo ... pia mengi hayajawahi kuwapo. ni story tu kama unayoweza kutoa kwa abiria wakati basi lenu limekwama kabisa kwenye tope