Maharage ya njano ni GMO?


Thank you
 
Ni yale marefu mekundu? Ama mafupi? Ama yale yenye umbo kama njugu mawe lkn mekundu sana?
Nyekundu yote ni mazuri lkn haya maneno mekundu yako kama njugu mawe yana madini na protein nyingi zaidi. Ni adimu kidogo kupatikana
Maharage mekundu madogo yanaharibu macho(kupofusha)
 
isije kuwa kuna vita ya kibiashara nyuma ya pazia kama ya soda flani kuambiwa zina ebora hivi karibuni
 
Maharage ya njano uyapate kule Kazuramimba. Ni matamu sana. Mbegu ya kawaida sio GMO.
 
Duh nkanamna watu mpo deep!!
 
kanda ya ziwa huitwa maharage ya kigoma yapo pale kigoma tangu mabibi zetu,ispokuwa yapo maharage ya njano yalioboreshwa hapo itabidi tuwasubiri watafiti wa uyole au sua.
 
Hata mimi nimeona kwa mbali ila nilikuwa nawaza mara 2 sio kuharibiana biashara huku
isije kuwa kuna vita ya kibiashara nyuma ya pazia kama ya soda flani kuambiwa zina ebora hivi karibuni
 
Ni kawaida sana kwa dunia ya sasa...

Hata carrot original ni purple na nyeusi.... ila wamezi- modify na kuonekana za njano...



Cc: mahondaw
 
Labda ungeanza kwa kusema GMO ni kitu gani manake usidhani hapa JF kila mtu anajua unachofahamu wewe.
 
Huyo ndo mkombozi wetu kwa wenye vidonda vya tumbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…