Mahanga kumfuata Lowassa.
Mbunge wa jimbo la Segerea Dk.Mahanga kukatwa na Cc hata kama akishinda kura za maoni kutokana na utovu wa nidhamu alioonesha Dodoma wakati wa kura za maoni za kumpata mrithi wa Rais Jk.
Dk.Mahanga anayesifika kwa rushwa,uzinzi na ulevi hali yake kisiasa ni mbaya kwenye jimbo la Segerea hadi kufikia hatua ya kununua kura za wanachama wa Ccm kwa dau la elfu hamsini kwa kila mwanachama.
Mbunge huyu na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira aliyewakilisha bungeni kwa miaka 15 ameahidi kuhamia Chadema akikatwa na Cc ya Ccm.
Dk.Mahanga amesema hana imani na Rais Jk na anamchukia sana kwasababu kamnyima Lowassa urais wa Tanzania kupitia Ccm.
Mbunge wa jimbo la Segerea Dk.Mahanga kukatwa na Cc hata kama akishinda kura za maoni kutokana na utovu wa nidhamu alioonesha Dodoma wakati wa kura za maoni za kumpata mrithi wa Rais Jk.
Dk.Mahanga anayesifika kwa rushwa,uzinzi na ulevi hali yake kisiasa ni mbaya kwenye jimbo la Segerea hadi kufikia hatua ya kununua kura za wanachama wa Ccm kwa dau la elfu hamsini kwa kila mwanachama.
Mbunge huyu na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira aliyewakilisha bungeni kwa miaka 15 ameahidi kuhamia Chadema akikatwa na Cc ya Ccm.
Dk.Mahanga amesema hana imani na Rais Jk na anamchukia sana kwasababu kamnyima Lowassa urais wa Tanzania kupitia Ccm.