Tupe mfano wa kuua bila kukusudiaHili ni kosa la kuua bila kukusudia????
Nchi ya Magufuli haina rushwa.Kama alimnyonga inakuwaje culpable homicide?
Samahani nilikuwa nataka kumcopy taahira mmoja. Sorry.Nchi ya Magufuli haina rushwa.
Actus reus =physical actHili ni kosa la kuua bila kukusudia????
manslaughter??????Kama alimnyonga inakuwaje culpable homicide?
Hapakuwa na premeditation, hakuwa amepanga kumuuaKama alimnyonga inakuwaje culpable homicide?
Miaka 9 ni michache ama?Hakuna hukumu hapa kuna harufu ya rushwa
......bila kukusudia, hakuwa amepanga kumuua, kwani yeye alijua kwamba mkewe angetoa majibu ya kuudhi?Mambo ya sheria hayo tuwaachie wenyewe. Ijapo kwa macho yasiyo ya kisheria naona kama hiyo hukumu ni nyepesi sana. yaani miaka 9 kwa kuua
acha uchochezi. ukiambiwa utoe ushahidi TAKUKURU juu ya tuhuma za rushwa unaweza kutoa?Hakuna hukumu hapa kuna harufu ya rushwa