Agenda1
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 1,695
- 3,400
Mkuu hawa vijana wa sisiem sijui huo wana akili gani! utawasikia, katokomeza rushwa!Hiyo rushwa inatokea wakati chama gani kikiwa madarakani?
Mkuu hawa vijana wa sisiem sijui huo wana akili gani! utawasikia, katokomeza rushwa!Hiyo rushwa inatokea wakati chama gani kikiwa madarakani?
Lulu alijihami alipokuwa anapigwa na ubapa wa panga, katika kujiokoa maisha yake akamsukuma yule bwana akadondoka na kufa,Alivyopewa lulu hukumu sawa na hii.. ilikuwa haki au rushwa pia?
Ukimnyonga mtu lengo lako linakua nini?......bila kukusudia, hakuwa amepanga kumuua, kwani yeye alijua kwamba mkewe angetoa majibu ya kuudhi?
Lulu alijihami alipokuwa anapigwa na ubapa wa panga, katika kujiokoa maisha yake akamsukuma yule bwana akadondoka na kufa,
Huyu mshenzi kampiga mkewe, kamnyonga hadi kufa, kambadilisha nguo kisha akaenda kutoa taarifa.
Tofautisha kukaba na kunyonga, unakaba mtu anaekuletea jeuri, hata shuleni tumekabana sana wakati wa ugomvi, lakini si kwa ajili ya kuuana, ni katika kushikishana adabu tu, ila mtu anapokufa kwa kukabwa ndio tunasema amenyongwa. Hivyo yeye alimkaba sio kumyonga., ila kwakuwa aliyekabwa kafa kwa kukabwa, tunasema amenyongwa, umeelewa?Ukimnyonga mtu lengo lako linakua nini?
Nyie watu mkoje?
Kumbe ulikua unashabikia vitu usivyovijua, basi tulia and next time usitolee mfano kesi usizozielewa.Uliona wapi lulu akijihami kwa panga ama kumsukuma? Una ushahidi gani?
Kama walikua tayari wana magomvi kila siku tayari huyo baba alikusudia kumuua.Tofautisha kukaba na kunyonga, unakaba mtu anaekuletea jeuri, hata shuleni tumekabana sana wakati wa ugomvi, lakini si kwa ajili ya kuuana, ni katika kushikishana adabu tu, ila mtu anapokufa kwa kukabwa ndio tunasema amenyongwa. Hivyo yeye alimkaba sio kumyonga., ila kwakuwa aliyekabwa kafa kwa kukabwa, tunasema amenyongwa, umeelewa?
Kugombana na mkeo unayeishi naye mara kwa mara inakuwaje kiashiria cha kufanya kusudi? If anything inaonyesha mara hiyo imetokea tu bahati mbaya maana mara zote hugomabana na halitokei hiloKama walikua tayari wana magomvi kila siku tayari huyo baba alikusudia kumuua.
Alikuwa ndani ndio maana kapeea miaka miwiliKesi toka 2013 ...alikua mahabusu au nje kwa dbamana?
Ilithibitishwa vipiImeegemea kwenye hoja ya un sound mind baada ya kulewa
Hivi unapomnyonga mwenzako, ni nini?Kuua bila kukusudia
Unapomsukuma mtu, nia sio kumuua, ni kumsukuma,vAlivyopewa lulu hukumu sawa na hii.. ilikuwa haki au rushwa pia?
Hiii kitu hii....acha tuuAfu mvulana wa miaka 20 anafungwa miaka 30 kwa kumpa mimba mwanafunzi wa kike mwenye umri wa miaka 19.
Hivi unapomnyonga mwenzako, ni nini?