fugees
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 2,868
- 884
Nikiangalia kwa umakini mkubwa mwenendo wa mashauri haya naona ni kama Lukuvi na Matiko ndio hawakutendewa haki.
Niishie hapo!
Nikiangalia kwa umakini mkubwa mwenendo wa mashauri haya naona ni kama Lukuvi na Matiko ndio hawakutendewa haki.
Niishie hapo!
ifikie hatua kwa mtu anayeandika vitu visivyojitosheleza, alikuwa expert member akija kuangalia profile yake mara boom tayari kashushwa na kuwa new member.
Unakataa au?Acha ubwege ww
Hapo wote ni mauzauza tu
Wewe ni wakili msomi ndugu yangu. Swali lako umeandika nje ya "Context". Ungeandika kwamba "kwani Usipoandika mada humu hulipwi buku saba?"Bure kabisa wewe binti! Kwani usipoandika mada humu utakufa?
Kwahiyo unavaa pampasi!Na kama akili zipo kwenye tigo kile kinachotoka kwenye tigo ni uharo tu!
Mimi ni mstaafu ninayekula pensheni yangu kwa AMANI siyo kama wewe uliyefakamia mafao ya mzee wako ya EAC iliyovunjika. Mshukuru sana mzee Mkapa wa CCM ungekufa masikini!Wewe ni wakili msomi ndugu yangu. Swali lako umeandika nje ya "Context". Ungeandika kwamba "kwani Usipoandika mada humu hulipwi buku saba?"
Nakala: johnthebaptist