Mahakama zetu ni zaidi ya duka

Waombaji wa kazi tuna shughuli pevu sana, Leo tar 8, Oct nimeenda mahakama kuhakikiwa nakala za vyeti vyangu lakin huko ni wiz mtupu, nikaambiwa nakala 1 ni buku 2 nilikua nazo 5 na jamaangu alikua nazo kama 10 ikatubidi tulipie hiyo pesa, kimasihala nikauliza hela hiyo niyanini, je tunalipia uchakavu wa mihuri? nikajibiwa tunalipia cheo cha hakimu na wino/ink, nikataka kuulizia kama nitapata risiti lkn nikaacha coz niliona amenichukia kufuatia swali langu la awali. Lkn kukaa kwangu hapo kwa muda usiozidi dak 10 lile DUka/Mahakama lilikua linamake enough money. Ila ikaniuma sana coz sion mantiki ya kuhonga nami ninavyeti halisi vya elimu yangu. Kisha kama mtu anakaa miaka zaidi ya mi3 akiwa anaomba kazi mbona atakufa kwakuneemesha walioko kwenye uskani! Should we pray for them??????

...ukitaka kujua kuwa ulichoandika Ni upuuzi, we angalia namba of likes kwenye hii post yako
By the way nitarudi kukuelimisha nikiwa Na muda mchafu.
 
Usiwe mvivu wa kufikiri wewe,karani wa mahaka Law School anafuata.

...wewe ndo uache uvivu kufikiri, aliyekuambia karani anaweza kugonga muhuri wa hakimu mkazi/mahakama Ni nani?. Au kwakuwa yeye Mara nyingi ndo anayepokea hizo docs zako?. Muwe mnauliza kwanza
 
Mahakama kama za Karatu zimetia fora kwani ni mradi wa watumishi, kwani kugonga muhuri au kuandika samansi ni elfu kumi au zaidi. Bora hata Mahakama za Kadhi kuliko hizi za Jamhuri maana ukifika unapokelewa kwa mikono miwili ili ulipie mradi. Wapiga chapa usiombe kwani kwa nakala ya hukumu sio chini ya Shs. 20,000 bora hata Secretarial Service. Wasijili wa Mahakama okoeni raia ili haki itendeke.

nakala ya hukumu haitozwi unatakiwa upewe bure, nihaki yako, mnaibiwa
 
nakala ya hukumu haitozwi unatakiwa upewe bure, nihaki yako, mnaibiwa

Inatakiwa ada mbalimbali za mahakama zingebandikwa lakini kwa vile wahudumu, makarani na mahakimu wote ni mtandao wa rushwa, inakuwa vigumu kujua ipi hutolewa bure na ipi ya kulipiwa kwani tangu hata kesi ya jinai polisi ama Mahakamani watoe wanatoa pesa.
 
Waombaji wa kazi tuna shughuli pevu sana, Leo tar 8, Oct nimeenda mahakama kuhakikiwa nakala za vyeti vyangu lakin huko ni wiz mtupu, nikaambiwa nakala 1 ni buku 2 nilikua nazo 5 na jamaangu alikua nazo kama 10 ikatubidi tulipie hiyo pesa, kimasihala nikauliza hela hiyo niyanini, je tunalipia uchakavu wa mihuri? nikajibiwa tunalipia cheo cha hakimu na wino/ink, nikataka kuulizia kama nitapata risiti lkn nikaacha coz niliona amenichukia kufuatia swali langu la awali. Lkn kukaa kwangu hapo kwa muda usiozidi dak 10 lile DUka/Mahakama lilikua linamake enough money. Ila ikaniuma sana coz sion mantiki ya kuhonga nami ninavyeti halisi vya elimu yangu. Kisha kama mtu anakaa miaka zaidi ya mi3 akiwa anaomba kazi mbona atakufa kwakuneemesha walioko kwenye uskani! Should we pray for them??????

Leo nimeomba nakala ya hukumu Mahakama ya Mwanzo, nikaambiwa nitoe pesa. Je, hii ni sahihi au ni aina ya rushwa ya makarani?
 
Brother ni lazima kuheshimu taaluma za watu, sa we ulitaka agonge muhuri bure? Wenzako wamesota sana law school kupata uo muhuri, wacha wale matunda yao.

Ni muhimu kuheshimu taaluma za watu, japo kuna uzembe mwingi hawa jamaa hufanya. Wanagonga mhuri tu hakuna kuhakiki wala nini japo unaweza kutozwa gharama kwa ukurasa. Miezi michache iliyopita tulihitaji ku-certify passport. Tulikuwa na copy ya passport kwenye email tuka-print. Kugongewa mhuri haikuwa shida ilhali hatukuwa na original document mkononi. Nchi imeoza, inanuka inasubiri machafuko tu.
 

Ni muhimu kuheshimu taaluma za watu, japo kuna uzembe mwingi hawa jamaa hufanya. Wanagonga mhuri tu hakuna kuhakiki wala nini japo unaweza kutozwa gharama kwa ukurasa. Miezi michache iliyopita tulihitaji ku-certify passport. Tulikuwa na copy ya passport kwenye email tuka-print. Kugongewa mhuri haikuwa shida ilhali hatukuwa na original document mkononi. Nchi imeoza, inanuka inasubiri machafuko tu.

Hiyo nayo ni changamoto
 
Waombaji wa kazi tuna shughuli pevu sana, Leo tar 8, Oct nimeenda mahakama kuhakikiwa nakala za vyeti vyangu lakin huko ni wiz mtupu, nikaambiwa nakala 1 ni buku 2 nilikua nazo 5 na jamaangu alikua nazo kama 10 ikatubidi tulipie hiyo pesa, kimasihala nikauliza hela hiyo niyanini, je tunalipia uchakavu wa mihuri? nikajibiwa tunalipia cheo cha hakimu na wino/ink, nikataka kuulizia kama nitapata risiti lkn nikaacha coz niliona amenichukia kufuatia swali langu la awali. Lkn kukaa kwangu hapo kwa muda usiozidi dak 10 lile DUka/Mahakama lilikua linamake enough money. Ila ikaniuma sana coz sion mantiki ya kuhonga nami ninavyeti halisi vya elimu yangu. Kisha kama mtu anakaa miaka zaidi ya mi3 akiwa anaomba kazi mbona atakufa kwakuneemesha walioko kwenye uskani! Should we pray for them??????

Ni halali kabisa na ungeomba risiti ungepewa. Maelezo aliyokupa aliyekuhudumia ni sahihi. Hivyo ndivyo vinaitwa vyanzo vya mapato vya serikali.

Na kwa taarifa yako hivi karibuni utaanza kulipia kupitia NMB.
 

Attachments

  • 1421920294996.jpg
    1421920294996.jpg
    7.5 KB · Views: 126
Inatakiwa hawa wanatoa nia za kugombea nafasi mbalimbali watuhakikishie kuwa watarejesha maadili katika mahakama zetu kwa kuondoa rushwa.
 
immmikkkKSiKwa vile malipo yote sasa ya Mahakama yanatakiwa kufanyiwa Be
Benki
ffffffffffffffffffff
tena umelipishwa hela ndogo sana kwa wakili according to Public Oath ni kuanzia 20000
Malipo yanatakiwa yafanyike Benki. Upokeaji wa fedha taslimu Mahakamani ni rushwa.
 
sasa unalalamika shilingi elfu mbili wakati wamekufanyia kinyume cha sheria na wanatakiwa wajibu kwa nini wamepoteza kodi kutoka kwa wananchi mhuri ni 20 wamekufanyia utu wee unawashtumu
 
Back
Top Bottom