Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 277
Mahakama kama za Karatu zimetia fora kwani ni mradi wa watumishi, kwani kugonga muhuri au kuandika samansi ni elfu kumi au zaidi. Bora hata Mahakama za Kadhi kuliko hizi za Jamhuri maana ukifika unapokelewa kwa mikono miwili ili ulipie mradi. Wapiga chapa usiombe kwani kwa nakala ya hukumu sio chini ya Shs. 20,000 bora hata Secretarial Service. Wasijili wa Mahakama okoeni raia ili haki itendeke.