GE2025 Mahakama yatupilia mbali maombi Lissu

GE2025 Mahakama yatupilia mbali maombi Lissu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mahakama kuu ya Tanzania imetupilia mbali maombi ya Tundu Lissu kutaka marejeo ya uamuzi wa mahakama ya kisutu kuahirisha kesi ya kuchapisha taarifa za uongo. mahakama imesema maombi hayo yalipaswa kusubiri kesi ya msingi iishe. Wakili hekima mwasipu amesema wameridhika na uamuzi huo, na watawasilisha maombi baadaye kama ikihitajika.

juni 02, mahakama ya kisutu iliahirisha kesi namba 8606/2025 ya uchapishaji wa taarifa za uongo baada ya upande wa jamhuri kuomba mashahidi wasio polisi watoe ushahidi kwa kificho.

Soma, Pia: Mzozo waibuka mahakamani, Lissu akizuiwa kuongea na mawakili wake

Tundu Lissu akiwa Mahakamani: Jamani huko Uraiani kukoje?

1752233674146.png


1752233740649.png


1752233807104.png
 
Mahakama kuu ya Tanzania imetupilia mbali maombi ya Tundu Lissu kutaka marejeo ya uamuzi wa mahakama ya kisutu kuahirisha kesi ya kuchapisha taarifa za uongo. mahakama imesema maombi hayo yanapaswa kusubiri kesi ya msingi iishe. wakili hekima mwasipu amesema wameridhika na uamuzi huo, na watawasilisha maombi baadaye kama ikihitajika.

juni 02, mahakama ya kisutu iliahirisha kesi namba 8606/2025 ya uchapishaji wa taarifa za uongo baada ya upande wa jamhuri kuomba mashahidi wasio polisi watoe ushahidi kwa kificho.
Mahakamaccm
Polisiccm
Magerezaccm
Lisu kupata haki lazima Taasisi za kimataifa zipaze sauti vinginevyo atafia jela kama Mbowe anavyotaka iwe
 
Lissu atapoteza muda bila sababu. Oktoba itaikuta hii Kesi Bado imo kwenye mapingamizi.
haina shida sababu sie twasema #NoReformsNoElections

ila kuna karma kwa watesi wote wa TAL inakuja

muda wao wa kulia na kusaga meno upo njiani

Ndipo hapo watakapolia na kusema (Yeremia 20:14-18)

Ilaaniwe siku niliyozaliwa; siku ambayo mama yangu alinizaa isibarikiwe.
Alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari akasema, "Umezaa mtoto wa kiume," akamfurahisha sana.
Mtu yule awe kama miji aliyoipindua Bwana, bila ya kumudu huruma; asikie kilio asubuhi, na kelele za vita mchana.
Kwa nini hakuniua nikiwa tumboni, hata tumbo la mama yangu liwe kaburi langu, wala tumbo lake lisiondoke kuwa na mimba milele?
Kwa nini nilitoka tumboni, ili nione taabu na huzuni, na siku zangu ziishe katika aibu?
 
Mahakama kuu ya Tanzania imetupilia mbali maombi ya Tundu Lissu kutaka marejeo ya uamuzi wa mahakama ya kisutu kuahirisha kesi ya kuchapisha taarifa za uongo. mahakama imesema maombi hayo yanapaswa kusubiri kesi ya msingi iishe. wakili hekima mwasipu amesema wameridhika na uamuzi huo, na watawasilisha maombi baadaye kama ikihitajika.

juni 02, mahakama ya kisutu iliahirisha kesi namba 8606/2025 ya uchapishaji wa taarifa za uongo baada ya upande wa jamhuri kuomba mashahidi wasio polisi watoe ushahidi kwa kificho.

Soma, Pia: Mzozo waibuka mahakamani, Lissu akizuiwa kuongea na mawakili wake

Amepungua na aachiliwe huru. Jela sio mchezo
 
Lissu atapoteza muda bila sababu. Oktoba itaikuta hii Kesi Bado imo kwenye mapingamizi.
Unadhani yeye ana njaa ya Uchaguzi kama Mwamba? 😂

Huyo viuno vyake havijarutubisha mayai ya Chawa kwa mkewe mpendwa 🐼👴
 
Back
Top Bottom