Mahakama ya Rufani yaamuru Kesi ya Wasira na Bulaya isikilizwe upya


Nilivyoelewa ni kuwa wafuasi wa Wassira wameruhusiwa kuendelea na kesi yao ili ianze kusikilizwa baada ya Mahakama ya rufani kutupilia mbali pingamizi la Mhe Tundu Lissu. Kwa hiyo Esther Bulaya bado ni mbunge mpaka atakaposhindwa kwenye kesi.
 
Court of Appeal inasoma hukumu usiku saa 6! Makubwa haya! Vinginevyo ni vigumu kuamini tetesi hii.
 
Wakishindwa kesi kwenye kulipa gharama ndo wataanza kulia lia tusamehe, sisi wakulima alitulaghai yule mzee haya tusibiri.
 

Si mnaye mwanasheria mahiri kuliko wote Tanzania kwenye SACCOS yenu? Mwambieni akupatieni tafsiri ya hukumu hiyo.
 
Jimbo litarudi ccm tena atatangazwa na magari ya washawasha yakiwa nje, ffu kama kawaida kama ilivyotokea kule mtwara mpaka nilishangaa, yani kutangazwa jamaa kashinda kesi mpaka na magari ya washawasha yakiwa pembeni, nilihisi kuna dhulma ilifanyika
 
Bulaya aangalie yasije kumkuta shauri yake hawa wazee some time hawatabiriki sana.
 
Hii mahakama ya rufaa si ndo iliyozuia wananchi kufungua kesi za uchaguzi kwenye kesi ya Lema? Leo mbona wanakula matapishi yao?
Mahakama ya Rufaa haibanwi na maamuzi yake. Kimantiki jiulize mwenyewe iweje upige kura yako halafu isihesabiwe, apewe ushindi mtu asiyestahili? Nadhani ni vyema mpiga kura lazima awe na haki ya kuhoji matokeo. Hii ya uzee na ujana ni nonsense, ujana si leseni ya ujinga. Ester tangu achaguliwe hajahudhuria bunge hata siku moja shida yaje eti Dr Tulia anamgomea. Kwani alikuchagua Dr Tulia? Ujana wa fujo na uzandiki unajikomoa mwenyewe. Na ubunge ni kushlndanisha sera za vyama si mtu mmoja mmoja. Bora ashindwe.
 
Rudia umesemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…