Mahakama Kuu kutoa uamuzi wa kumjumuisha Lissu kesi ya mgawanyo wa mali CHADEMA

Mahakama Kuu kutoa uamuzi wa kumjumuisha Lissu kesi ya mgawanyo wa mali CHADEMA

Parabolic

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,743
Reaction score
2,600
68f1e5ec-81a3-4526-926b-aee145b02f60.jpg

Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam, inatarajiwa kutoa kuhusu hoja ya Mheshimiwa Tundu Lissu, Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu kuomba kujumuishwa kama mshitakiwa katika kesi inayoendelea inayohusu mgawanyo wa mali za chama Machi 3, 2026.

Katika kesi hiyo iliyofunguliwa na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Zanzibar, Said Issa na wenzake Maulida Anna Komu na Ahmed Rashid Khamis, waliokuwa wajumbe wa bodi ya wadhamini ya chama hicho, wadai wanahoji mgaanyo wa mali za chama hicho kwa Bara na Zanzibar.

Taarifa iliyotolewa leo Machi 2 na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezo wa CHADEMA, Brenda Rupia imewataka viongozi na wanachama kujitokeza kwa wingi mahakamani siku Machi 3 kwa kuzingatia uzito wa kesi hii na athari zake kwa mustakabali wa chama hicho.

Soma pia: Pingamizi kesi ya mgawanyo wa mali CHADEMA latupiliwa mbali
 
Back
Top Bottom