Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Mahakama kuu Kenya imeruhusu chama cha upinzani Kenya kuchunguza mfumo wa ICT wa IEBC jinsi illivyokuwa ikipokea matokeo. Hii ni pigo kubwa kwa Chama cha Jubilee. Uchakuaji kuwekwa hadharani kwani matokeo ya fomu 34A, 34B, 34C lazima ziendane na matokeo yaliyopo kwenye server ya IEBC . NASA wana matokeo yao za hizo fomu na IEBC wameamriwa walete hizo fomu mahakamani.