Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 4,465
- 4,613
Wasalaam.
Mahakama tukufu ilisimamisha shughuli zote za kisiasa na kiutendaji za chama cha democrasia na maendeleo chadema, lakini wabunge wanaotambulika kama wa chadema yaani covid 19 bado wanahudhuria bunge la bajeti linaloendelea dodoma.
Ni kwamba hii amri ya mahakama haiwahusu au ndo mwendelezo wa double standard? Kwanini hawajazuiliwa kuingia bungeni?
Ina maana sheria sio msumemo?
Au kuna chadema mbili?
Hii inafikirisha sana na kwa upande mwingine ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi.
Mahakama tukufu ilisimamisha shughuli zote za kisiasa na kiutendaji za chama cha democrasia na maendeleo chadema, lakini wabunge wanaotambulika kama wa chadema yaani covid 19 bado wanahudhuria bunge la bajeti linaloendelea dodoma.
Ni kwamba hii amri ya mahakama haiwahusu au ndo mwendelezo wa double standard? Kwanini hawajazuiliwa kuingia bungeni?
Ina maana sheria sio msumemo?
Au kuna chadema mbili?
Hii inafikirisha sana na kwa upande mwingine ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi.