Nimeipenda sana hii kitu; umesema ukweli mtupu. Kuna mtu aliwahi kuniambia kuwa ukitaka mafanikio basi ondoka kwenye "comfort zone". Akatoa mfano wa mfanyakazi alieajiriwa, analipwa kidogo, ana manyanyaso mengi, amekopa ananuka madeni ila kila wazo analolijaribu au kuliwaza anashindwa na kujifariji kuwa mwisho wa mwezi atapata salary!
Mwingine akasema hivi; kama umedhamiria basi utapata suluhisho kwa kila changamoto lakini kama huna dhamira ya dhati basi utapata changamoto kwa kila suluhisho!