mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,312
- 55,970
John Pombe Magufuli aliwahi kukaririwa kuwa atayabomolea mbali makao makuu ya shirika la umeme TANESCO. Mimi naona muda ndio huuu kwani hawana umuhimu wa kukaa kwenye jengo kama lile lenye hadhi nzuri tofauti na utendaji wao ,bomoa haraka warudi kwenye kibanda chao pale stesheni,umeme bei juu bado unakatika katika.

