gasto genaro
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 780
- 554
Wapo watu mbali mbali wasemao kuwa, Magufuli ni dikteta. Wapo pia wengine pia wasemao, Mbowe ni dikteta.
Hii ina maanisha hawa watu wana mfanano katika uongozi?
Naombeni tofauti zao..
Hii ina maanisha hawa watu wana mfanano katika uongozi?
Naombeni tofauti zao..