Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,984
- 11,794
Kwa vipaumbele gani? kila kitu anakishangaa...... yani yuko serikalini kwa miaka 20 then kila kitu anashangaa.... hospitali hakuna dawa.... no viwanda yani kila kitu anashangaa
Yule mwenye mvi yupo serikalini miaka 30 halafu anasema serikali haijafanya kitu kwa miaka zaidi ya 50 inamaana hata yeye alikuwa anafanya maigizo miaka yote hiyo.
Chagua Magufuli.