Magufuli: Tujadili uwezo wake

Wale wa ccm mukubali tu this election mmepata mgombea by accident lakini hana vigezo stahiki kuongoza taifa hili lenye challanges nyingi . Taifa linahitaji kiongozi mjuaji na mbunifu pia tunahitaji kiongozi mwenye vision na uoni wa tuendako.nina mashaka mara hii tutachagua kwa sababu inabidi kuchagua tu hakuna cha kufanya.
Kikwete juu ya madhaifu yake lakini ni mwanasisa makini na mahiri.mpangaji mikakati na mbunifu pia na yote ni kweli he is a super diplomat...
This time haya tu.....tutafika
 
Mnamjadili mtu ambaye ameshashindwa! nani mwenye akili timamu akamchague Magufuli asiyejua kufikiria au kuwaza?
 
ameshiriki kukataa katiba ya wananchi kwa maneno yake. mtu anayekataa maoni ya wananchi hafai.kuwaambi watu wanaopata chini ya dola moja kwa siku wapige mbizi ni ukatili.
 
"Kulikua na nchi moja inaitwa Libya ilikua imetulia na imeendelea sasa wakapigana wenyewe kwa wenyewe wakamua Sadam...aaah no ni Ghadafi..Sadam ni wa kuwait!"
Huyo ni magufuli...poor foreign policy...ndio nilitaka tujadili uwezo wake ...kwenye haya ni zero....
 

Atakua rafiki wa taifa rafiki la Kuwait
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…