mwanakijiji lugusi
Senior Member
- Apr 13, 2016
- 128
- 96
Wanaomba kuuliza hivi ile namba ya simu ya TCU iliwekwa kwa ajiri ya kazi gani? Haiwezekan karibia wiki ya tatu hii napiga tu inaita lkn haipokelew hivi hawajui wapo pale kwa ajiri ya sisi wananchi masikin?
Mwisho wa siku wakitumbuliwa na kipenz cha wanyonge wanakuja kulalamika kuwa wana familia zinazowategemea tena huwa wananukuu na vifungu vya biblia kutuamnisha kuwa wameonewa
BADILIKENI TCU SIE WANAFUNZI TUNAPATA CHANGAMOTO KWENYE UDAHILI
Mwisho wa siku wakitumbuliwa na kipenz cha wanyonge wanakuja kulalamika kuwa wana familia zinazowategemea tena huwa wananukuu na vifungu vya biblia kutuamnisha kuwa wameonewa
BADILIKENI TCU SIE WANAFUNZI TUNAPATA CHANGAMOTO KWENYE UDAHILI