Mzalendo39
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 881
- 1,035
Hapa kazi tu
[h=3][/h]![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Acha ubishi na kutokwa povu, wengi zaidi washaamua. Wanamuamina kwa sababu ya historia yake wake utumishi serikalini katika wizara mbalimbali ambapo kote alikopita anasifika kwa UCHAPAKAZI, UADILIFU, UFUATILIAJI,UTEKELEZAJI NA MWENYE MSIMAMO katika usimamizi na utekelezaji wa sheria. Huyu ndiye Dr. MAGUFULI bwanaaaaaa.......
Nakusihi tuungane na walio wengi kumpa kura nyingi za kishindo akatutumikie....
Ile siku Magufuli atapokula kiapo, ntacheza, ntaruka na ntajidai kupata rais bora, siyo bora rais
Mm na familia yangu tumeshashona sare wote kwa ajili ya kwenda kusherekea akiapishwa
Anza mazoez ya kuruka ruka mkuu maana yametimia.