William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
Alisema kazi iliyofanywa na watangulizi wake, imekuwa nzuri na yenye mafanikio, hali ambayo imeifanya Serikali ya Marekani kupitia Shirika la Maendeleo la Milenia (MCC), kuipatia Sh bilioni 992.8 ili kuboresha sekta ya umeme.
Alisema licha ya kurushiwa maneno ya kejeli na matusi na wagombea wa vyama vingine, hatojibu kwa kutukana ila wakati wote atahimiza amani, umoja na mshikamano.
"Nitafanyakazi ya kuijenga Tanzania mpya yenye mabadiliko na maendeleo ya kweli, kwa kuanzia pale walipoishia watangulizi wangu.
"Pamoja na kejeli za kudai hakuna kilichofanyika, hata barabara za lami hawazioni wakati wanapita kila siku na kusafiri… ama kweli shukrani ya punda ni mateke.
"Kama hakuna kilichofanyika, leo hii MCC wangetoa mamilioni ya fedha zote hizi kwa ajili ya nchi yetu… jamani ni Magufuli tu ndiyo anaweza kuwatumikia kwa dhati na moyo wangu wote bila kubagua kwa vyama, dini wala kabila," alisema.
Alisema licha ya kurushiwa maneno ya kejeli na matusi na wagombea wa vyama vingine, hatojibu kwa kutukana ila wakati wote atahimiza amani, umoja na mshikamano.
"Nitafanyakazi ya kuijenga Tanzania mpya yenye mabadiliko na maendeleo ya kweli, kwa kuanzia pale walipoishia watangulizi wangu.
"Pamoja na kejeli za kudai hakuna kilichofanyika, hata barabara za lami hawazioni wakati wanapita kila siku na kusafiri… ama kweli shukrani ya punda ni mateke.
"Kama hakuna kilichofanyika, leo hii MCC wangetoa mamilioni ya fedha zote hizi kwa ajili ya nchi yetu… jamani ni Magufuli tu ndiyo anaweza kuwatumikia kwa dhati na moyo wangu wote bila kubagua kwa vyama, dini wala kabila," alisema.