Magufuli ndiyo habari ya mjini huko Uganda

Magufuli ndiyo habari ya mjini huko Uganda

Duh! M7 kama angekuwa mtu makini anatakiwa kujiuzulu haraka sana.Ukingalia hizo comment ni dhahiri wengi wamemchoka.Kilio cha Waganda kinawakilisha pia kilo cha nchi hizi:Angola,Cameroon,Burundi,DRC,Afrika Kusini,Guinea ya Ikweta,Chad,Gabon n.k. Watawala wa nchi hizi wamelewa vibaya sana madaraka kwani 'power corrupts,absolute power corrupts absolutely'.
 
Wewe ndio una majungu.Makamba humjui na hata hujamuona,chuki binafsi tu.una uchungu kamnyima mgombea wako nafasi ya kuiba kura ili atangazwe saa 4 asubuhi.
Makamba ni hazina huwezi kumfananisha na mnyika au yule Nasari au katambi

Umechangia vizuri lakni kunfananisha Makamba na Mnyika au Nasari hauko sawa
 
Wewe ndio una majungu.Makamba humjui na hata hujamuona,chuki binafsi tu.una uchungu kamnyima mgombea wako nafasi ya kuiba kura ili atangazwe saa 4 asubuhi.
Makamba ni hazina huwezi kumfananisha na mnyika au yule Nasari au katambi


Naona hujitambui....Makamba namjuwa toka shuleni (Chuo), ningemsemaje kama simjuwi? Toka shuleni dogo ana majungu sana hata kama kitu hajuwi lazima atakubishia tu kisa alikariri mistari ya kitabu fulani. Tulikuwa tunamchekaga sana shuleni kwani alikuwa bingwa wa kukariri sentensi na his broken english. Kwenye vikao vya washikaji tulikuwa tunamkimbia kwa ajili ya umbea na kutaka kujuwa kila kitu wafanyavyo watu ili akamwambie baba yake waanze kututeta.
 
Alichokosea Magufuli ni kumuweka Makamba as a minister. Makamba ni sawa na baba yake, ana majungu sana na yuko incompetent japo kasoma kidogo.

Ndio tatizo la system. Ni mbaya sana lazima ubebe watu hata ambao hawabebeki
 
Watanzania sisi ni ndezi sana, mimi kwa hii migao ya umeme kamwe siwezi sifia mtu na nitakuwa wa mwisho kusifia, watu wanajitia upofu kwa sasa

Jpm ana sifiwa na dunia. Wee baki na undezi wako
 
Bora angeshinda lowasa tu,huyu magufuli anatubana sana bana,nyumba yangu sada itaishia kwenye renta tu
 
Wasijali akitoka mu7 tutawapa mzee Wa monduli akapeleke mabadiliko
 
Mkuu Elli njoo na huku uone misifa mingine.
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndio una majungu.Makamba humjui na hata hujamuona,chuki binafsi tu.una uchungu kamnyima mgombea wako nafasi ya kuiba kura ili atangazwe saa 4 asubuhi.
Makamba ni hazina huwezi kumfananisha na mnyika au yule Nasari au katambi

Usimtete huyu kijana ni bookish hana uwezo wala ubunifu wa kuongoza kapewa fadhila za kampeni, kanachora vikatuni vya kinafiki kinyama, dogo badilika u do not impress us
 
Wasijali akitoka mu7 tutawapa mzee Wa monduli akapeleke mabadiliko

kweli tuna hazina kubwa mzee wa monduli au dovutwa au mzee wa bharaghashia wa hai lyatonga,
watuachie magu tutawapa hao wengine
 
Back
Top Bottom