Halafu kuna mijitu humu inachezea amani na demokrasia iliyopo TanzaniaTeh teh teh....
Kwahiyo jamaa wanata watupe mtu tunayemtaka na madini juu.!!! Ukisoma Coment za hao jamaa unawaonea huruma kweli. Na bado M7 akitoka anamuweka mwanae..!!
BACK TANGANYIKA
Magufuli katawala sana magroup ya Uganda na kwingineko Africa
Magufuli katawala sana magroup ya Uganda na kwingineko Africa
Alichokosea Magufuli ni kumuweka Makamba as a minister. Makamba ni sawa na baba yake, ana majungu sana na yuko incompetent japo kasoma kidogo.
Wewe ndio una majungu.Makamba humjui na hata hujamuona,chuki binafsi tu.una uchungu kamnyima mgombea wako nafasi ya kuiba kura ili atangazwe saa 4 asubuhi.Alichokosea Magufuli ni kumuweka Makamba as a minister. Makamba ni sawa na baba yake, ana majungu sana na yuko incompetent japo kasoma kidogo.
Halafu kuna mijitu humu inachezea amani na demokrasia iliyopo Tanzania