zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Magufuli, kama kicha cha habari kinavyosema, nimependa hii kitu na nna-uhakika Japan mtumba wa hii kitu hautofika hata Dollar elfu mbili, sasa baba yale matuta uliosema yaondolewe, naona jamaa wanafanya uzembe kuyaondoa, wananichelewesha:
Maana kwa sasa hamna pa kuiendesha!
Maana kwa sasa hamna pa kuiendesha!