Magufuli, nataka kuleta mtumba wa hii:

zomba

JF-Expert Member
Nov 27, 2007
17,240
3,910
Magufuli, kama kicha cha habari kinavyosema, nimependa hii kitu na nna-uhakika Japan mtumba wa hii kitu hautofika hata Dollar elfu mbili, sasa baba yale matuta uliosema yaondolewe, naona jamaa wanafanya uzembe kuyaondoa, wananichelewesha:

scooter_16.jpg

Honda Forza MF08 [via]​
scooter_5.jpg

Suzuki Sky Wave 43 [via]​
scooter_34.jpg

Honda Fusion [via]​
scooter_6.jpg

Yamaha Majesty [via]​
scooter_7.jpg


Maana kwa sasa hamna pa kuiendesha!
 
Huwezi kuleta na milele hutaleta maana hela za kujengea barabara zimeshaliwa kwenye uchaguzi.

Waliokula ndiyo hao CCM unawatetea kila siku iendayo kwa Mungu.

Ukicheka na nyani, HUWEZI ENDESHA HIZO MASHINE TANZANIA.
 
Hii kitu huwezi ktembelea bongo hata kwa dawa.

Unaweza sana, shida itakuwa spares tu.

Na hata spares sio shida kwani bank ziko na mtu anaweza kufanya transfer ili anunue hizo spares. Mbona kuna aina za magari ambazo spares zake hazipatikani Tz?
 
Back
Top Bottom