magufuliforpresident
Senior Member
- Aug 18, 2015
- 159
- 59
Ahadi zake ni mageuzi makubwa ndani ya nchi yetu, siyo tu wakulima kuikopesha serikali badala ya serikali kuwakopesha wakulima, bali pia wagonjwa watakuja kutibiwa Tanzania badala ya wagonjwa wa Tanzania kupelekwa nje