Magufuli na data za uongo

Acha masihara wewe unataka tuuze nchi.

Ukawa hawawezi shika hii nchi.

Tuliyowaamini kwa miaka 54 mmeuza nusu ya nchi yetu,tunahitaji kuwabadilisha ili kuirudisha eneo mliloliuza.
 
Unatakiwa uelewe au uliza ujibiwe.
Amesema mgombea mwenza wa kwanza.Hao uliowataja wamechaguliwa,hawakuwa wagombea.

Mgombea mwenza wa kwanza alikuwa wa Dr.Slaa mwaka 2010.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…