CCM wamekuwa waongo na watu wa kutoa ahadi za uongo kwa miaka yote,ila watanzania walikuwa bado hawajapata mwamko kama sasa,KWASASA WATANZANIA HATUDANGANYWI TENA NA VIONGOZI WA CCM,sasa kama anadanganya hivyo je hizo laptop kwa walimu si ni uongo pia? KURA ZETU ZITAENDA KWA LOWASSA NA VIONGOZI WA UKAWA. Tumechoshwa na wizi na ufisadi wa CCM.