tusiwe hivyo kemea uovuMi yangu macho
tusiwe hivyo kemea uovuMi yangu macho
serikali haikuwa makini.je serikali inaweza kujiwajibisha?
Mgema akisifiwa tembo hulitia maji. Hii ndiyo inatokea kwa Magufuli, inaonekana sasa amelewa sifa. Uongozi unatakiwa hekima na siyo nguvu na sifa.